Hapa naangalia Wasafi TV.
Naona wanaplay nyimbo ya HAKUNAGA ya Suma Lee ambaye kwa sasa ni mfia dini alisilimu muda mrefu sana.
Imekuaje wamepiga hii nyimbo wakati mwenyewe alizuia hili suala.
Je, kuna kosa kama ataamua kuwashtaki wanasheria mnijibu hapa.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.