A superpower is a state with a dominant position characterized by its extensive ability to exert influence or project power on a global scale. This is done through the combined means of economic, military, technological, political and cultural strength as well as diplomatic and soft power influence. Traditionally, superpowers are preeminent among the great powers.
The term was first applied in 1944 during World War II to the United States, Britain, and the Soviet Union. During the Cold War, the British Empire dissolved, leaving the United States and the Soviet Union to dominate world affairs. At the end of the Cold War and the dissolution of the Soviet Union in 1991, only the United States appeared to be a superpower.
Israel bila Marekani, si kitu huko Mashariki ya Kati.
Taiwan bila Marekani, si kitu mbele ya China.
Korea Kusini bila Marekani, si kitu mbele ya Kim Jong Un.
Na Ukraine bila msaada wa Marekani, si kitu mbele ya Urusi ya Putin.
Jana Rais Trump kachomoa misaada ya kijeshi ya Marekani kwenda...
Mwalimu wa Historia alitumbua kuwa chanzo kimojawapo cha udumavu wa bara la Afrika kimaendeleo ni ukoloni wa Kimagharibi!
Lakini pia alitufundisha kuwa Ethiopia haikutawaliwa na Wazungu. Labda ndiyo maana Waafrika walipachagua pawe makao makuu ya AU?
Lakini nilisahau kumwuliza kuwa ikiwa...
Najua wengi watabisha tu kutokana na ushabiki wao juu ya imani fulani
Ila mimi ninasema ninachokiamini
According to the bible
Kurudi kwa israel ni mpango wa Mungu
Na hakuna wakuzuia sio mrusi,mchina,mkorea, au nani mpango unabii ukamilike
Kumbukumbu la Torati 30:3-5
[3]ndipo BWANA, Mungu wako...
Ndiyo!
Africa mpaka sasa sifahamu ni nchi gani ambayo viongozi wake wakikohoa, kina Kagame wanakaa kimya
Congo, watu wake wanapata tabu sana kwa vita ambavyo tangu nimekuwa na akili nasikia tu wanauwana na sababu kuu ni vijimajeshi vya nchi za Waafrica wenzao kutumwa kwenda kupora mali za nchi...
Niko katika kazi ya kuipeleka Tanzania kwenye new season in spiritual point of view leo tutaangalia jinsi gani Tanzania ni super power tuaangalia historical perspective na natura perspective
Kipindi cha utawala wa nyerere tuliona Tanzania ikijitoa kusaidia nchi nyingi za Afrika kuondokana na...
Ikitokea China amekuwa super power, hali ya Dunia itakuweje? Je tutanyanyasika duniani? Demokrasia, Uhuru itakuweje. Nchi za kiAfrica Mambo yatakuweje?
Toa maoni yako
Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Urusi haiwezi kushinda vita dhidi ya Ukraine.
Matamshi hayo ameyatoa mjini Warsaw, Poland ikiwa ni saa kadhaa baada ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kusema Urusi itaendeleza mashambulizi yake ambayo yanakaribia kutimiza mwaka sasa.
Rais Biden akionekana wazi...
Naongea nachokiishi siyo nachosimuliwa, kabla mrusi wa buza hujaanza kunibishia shiba sana kwanza vitumbua kwa mama willy hapo Tandale, nakusisitiza kabisa ichaji techno ya shangazi yako unayotumia kwa kujiiba ku comment JF, nasisitiza hakikisha una pitia notice ulizokalili kuhusu uchumi kwa...
Siku zote panapofuka moshi ujue kuna moto hivyo kila jambo linalotokea huwa halikosi sababu. Kenya ameonekana kujiandaa kupekeka mamia ya wanajeshi Congo baada ya waasi kupata nguvu mashariki ya Congo na kukua kwa uhasama kati ya congo na Rwanda.
Ikumbukwe mwaka 2013 Tanzania alipeleka...
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.
USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.
Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.
Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake...
Super pawa la Kibisa. linapelekeshwa
Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu.
Wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua.
Walitegemea Ukraine itaweka nguvu zote pale Donbass na kuacha sehemu kubwa ya Ukraine au kyiv haina Ulinzi wa kutosha. Mayokeo yake...
China mwaka 2021 bimaana mwaka huu mwezi wa pili imetangazwa kuwa ni taifa pekee lililokopesha mataifa mengi duniani.
Bank kuu ya China imekopesha mataifa 138 na kusamehe madeni mataifa 38.
Hivi tujadiliane jamani kiuchumi hii imekaaje?
Hivi kuna atayempiku huyu jamaa kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.