Wound dehiscence is a surgical complication in which a wound ruptures along a surgical incision. Risk factors include age, collagen disorder such as Ehlers–Danlos syndrome, diabetes, obesity, poor knotting or grabbing of stitches, and trauma to the wound after surgery.
Mtaani kumekuwa na maneno mengi sana Juu ya suala la Watu Mshono (Kidonda cha upasuaji) Kuwa wanapata Maumivu Kipindi cha hali ya hewa ya Baridi, Mvua au mawingu, Japo wapo kadhaa ambao walithibitisha kupata maumivu katika vipindi hivyo, Lakini ningependa kufahamu zaidi katika Ngazi ya Utabibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.