Habari wadau na ma Hustlers wote , mwaka huu wa 2024 ndio upo ukingoni tumebakiwa na miezi michache tuufunge mwaka.
Mwaka huu ulivyoanza watu walikuwa na slogan ya mwaka wa Ku force, swali la kizushi je ni kiasi gani cha pesa kikubwa ulichofanikiwa kukipata mpaka sasa? Na je, unahisi umefikia...