Baada ya kimya na ahadi za muda mrefu za CEO wa Tesla, Elon Musk, finally ile siku imewadia.
Ni tarehe 10 October, ambapo billionaire uyo atafanya uzinduzi wa huduma na bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni yake ya Tesla.
Event ina tittle “We Robot” ambayo tunaamini kaitoa kwenye series ya...
Taylor Swift sasa ndiye mwanamuziki wa kike tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.6, akimshinda Rihanna. Mafanikio haya makubwa yanatokana hasa na ziara yake ya "Eras Tour" na umaarufu wa nyimbo zake.
Swift ameendelea kuwa mmoja wa wasanii wenye ushawishi mkubwa katika tasnia...
Kuna hii app ya mikopo ya online, inayoitwa Swift Fund, hawa ni wezi kabisa.. Unakopa, wakati wa kulipa wanakutumia link, unalipa, na Deni lako linaendelea kuwepo, hakuna kinachobadilika!
Unamaliza deni, wa naendelea kukusumbua kila siku, na kila siku anakupigia mtu mpya, wanakuchafua kwa...
Wadau salam,mimi kabwela "Common man" au msakata tonge nina kausafiri kangu Suzuki Swift second generation ya 2008.Engine yake ni K12B.
Je atf yake ni ipi,najaribu kugoogle nakytana na vitu kama GL 4 n.k.Bado sielewi vizuri.Naombeni msaada wa kuelimisjwa vizuri.Maana nasikia gari nyingime ni T...
Eran alikuwa aki serve kama bodyguard wa Swift katika tour yake ya kimuziki iitwayo Eras.
Viva Israel, Viva nchi ya ahadi.
=============
Taylor Swift‘s security guard who protected her during The Eras Tour has gone back to his home in Israel to fight against Hamas, according to Israel...
Mr. Allen Swift. Alizaliwa: 1908. Akafariki: 2010.
Huyu mwamba aliendesha gari moja tu, gari hilohilo peke yake kwa miaka 82. Hebu fikiria umiliki na kuendesha gari moja tu kwa muda wote huo!
Mr. Allen Swift ( Springfield, MA ) alipewa zawadi ya gari hili mwaka 1928 Rolls-Royce Piccadilly-P 1...
Natumaini wote ni wazima wa afya,
Naomba kupata maeleze kuhusiana na IBAN na SWIFT CODE za bank, nimejaribu ku-Google Nimesoma maelezo lakini kuna points sijazielewa.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.