t-shirt

A T-shirt, or tee shirt, is a style of fabric shirt named after the T shape of its body and sleeves. Traditionally, it has short sleeves and a round neckline, known as a crew neck, which lacks a collar. T-shirts are generally made of a stretchy, light and inexpensive fabric and are easy to clean. The T-shirt evolved from undergarments used in the 19th century and, in the mid-20th century, transitioned from undergarment to general-use casual clothing.
Typically made of cotton textile in a stockinette or jersey knit, it has a distinctively pliable texture compared to shirts made of woven cloth. Some modern versions have a body made from a continuously knitted tube, produced on a circular knitting machine, such that the torso has no side seams. The manufacture of T-shirts has become highly automated and may include cutting fabric with a laser or a water jet.
T-shirts are very economically cheap to produce and are often part of fast fashion, leading to outsized sale of T-shirts compared to other attire. For example, 2 billion T-shirts are sold a year in the United States, or the average person from Sweden buys nine T-shirts a year. Production processes vary but can be environmentally intensive, and include the environmental impact caused by their materials, such as cotton which is both pesticide and water intensive.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Wananchi wa Vijiji viwili Jimbo la Namtumbo warudisha t-shirt na fedha za Mbunge wao Vita Kawawa!

    Nimeona hii clip, wenyeji wa huko tuambieni kama ishu ina ukweli hii? ====================================== Wakizungumza na Wawakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Vita Rashid Kawawa, Wananchi wa Kijiji cha Mlalamiwa na Matepwende wamedai hawawezi kupokea zawadi za Mbunge wao wakati...
  2. Q

    Pre GE2025 Siasa zaingia michezoni, baada ya CCM kuja na T-shirt za 'Watoto wa Mama' CHADEMA wamekuja na T-shirt za 'Watoto wa Baba'.

    Dawa ya moto ni moto, hii inaitwa Ubaya Ubwela.
  3. Waufukweni

    Video hii imegusa wengi, Tazama T-shirt ya Baba; binti amevaa joho lake. Kwake, Baba ndiye shujaa wake!

    Moja ya video iliyogusa hisia za watu ni hii ya binti huyu aliyejivunia kuvaa joho huku kando yake kuna Baba yake akiwa na furaha tele mwanae kuhitimu Chuo. Ingawa sifahamu kuhusu mama yake, ila inachukua dakika chache tu kugundua moyo wa binti huyu unazungumza nini?. Anaonyesha hamu kubwa ya...
  4. Gulio Tanzania

    Brand gani ya T-shirt plain ambazo hazipauki kwa haraka

    Habari zenu wadau Nimekuja kwenu ili nipate msaada nipate Tshirt plain hasa nyeupe ambazo nitazitumia kuprint tangazo kwa ya biashara yangu Mara ya kwanza nilichukua Hot basic manga sababu ni bei rahisi nilinunua nyingi nikaziprint nyingi nikagawia watu baada ya muda mafupi naona Tshirt zile...
  5. Bob Manson

    Kuchomekea T-shirt ni ushamba?

    Baadhi wanasema kuchomekea T-shirt sio sawa lakini mimi nafanya hivyo mara kwa mara na sioni kama ni tatzo. Wadau wa mitindo, je ni sawa kufanya hivyo au ni ushamba?
  6. M

    T-shirt mpya zinauzwa

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 TSHIRT MPYA KUTOKA CHINA ZINAUZWA KWA BEI YA JUMLA ZIPO SIZE MBALIMBALI KUANZIA PIECE 100 Tsh 3,400 UKIWA NA Tsh 340,000 UNAPATA BANDO LA TSHIRTS. UKIHITAJI PIECE ZAIDI YA 1000 UNAPATA TUPO DAR ES SALAAM MTAA WA AGGREY KARIBU NA KITUMBINI UNAWEZA UKAFIKA MWENYEWE AU UKATUMA MTU...
  7. Ghaysh

    Faida za kuvaa T-shirt za biashara yako

    FAIDA ZA KUVAA T-SHIRT ZA BIASHARA YAKO KWA NINI UPRINT KWETU? WEKA ORDER YAKO LEO HUDUMA ZETU Tunaprint T-Shirt, Mashati na Uniform aina zote kwa kutumia mashine za kisasa, Embroidery(Kudarizi), DTF na screen printing. Tunaprint Product Label(Sticker za vigungashio) kwa gharama nafuu...
  8. H

    Designer au supplier wa T-shirt ya "Tunatangazwa bure "Burj Khalifa" tafadhali sana naomba kujua nitaipataje?

    Leo katika pitapita yangu nimeona Mtanganyika mwenzetu kavaa Tshirt imeandikwa "Tunatangazwa bure Burj Khalifa", nikashindwa hata kupiga picha, hata kumpata kwa haraka sababu nilikuwa nadrive na wakwe zangu na taa ziliruhusu, kwa hiyo nikashindwa kabisa ila nimefarijika sana kwa ujasiri ule...
  9. matunduizi

    Wakuu Kwa Nini hakuna t-shirt za drafts katika designs za mavazi.

    Nimekuwa Nikiona shati a drafts tu. Najiuliza Kwa Nini sikioni hakuna t-shirt cotton nzuri lakini na zenyewe ziwe draft lakini nzuri za kisasa. Kun mwenye ufahamu kuhusu vazi hili na Kwa Nini sio common
  10. Deep Image Studio

    T-Shirt Printing

    TUNA PRINT:- 📌Mabango 📌T-shirts 📌Kofia 📌Vikombe 📌Stickers 📌Labels 📌Calendar 📌Mifuko 📌Mito 📌Receipt 📌Invoice 📌Delivery Note 📌Wheel Cover 📌Flyers 📌Business & ID Card 📌Brochure............. #deepimagestudio #deeptz #deepmabango #deepprinting
  11. B

    Tujadili uhusiano Kati ya t-shirt mpya kuvaliwa juu ya shati chafu na misaada kutumika kupamabana na umasikini tunapoangazia mapokezi ya Mhe. Rais

    Nampongeza Mhe. Rais kutamka adharani Kwamba amekwenda ulaya kurejesha mahusiano yaliyoaharibika Kati ya Tanzania na Nchi za Ulaya. Amewaonyesha kamati ya kusifu na kupongeza Kwamba walilitendea vyema tumbo wakaacha Nchi ikiwa na matobo. Pili nimpongeze Kwa juhudi anazofanya, natambua amekuta...
  12. M

    Nitakuwa salama na T-Shirt za Mbowe?

    Tukio la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe na kushitakiwa kwa kosa la ugaidi limevuta hisia za watu wengi ndani na nje ya nchi. Suala hili limegusa pia hisia zangu hasa nikitafakari kwamba amekamatwa masaa machache tu kabla kuhudhuria kongamano la katiba. Kwa upande...
  13. Behaviourist

    Kituko cha mwaka: Kupinga Katiba Mpya huku ukiwa umevaa T-shirt za kuhamasisha Katiba Mpya

    Hivi kwa nini hawa vijana wa CCM ni debe tupu kichwani?Hivi ni lazima ukishakuwa CCM ni lazima akili zipeperuke? Hawa vijana wa CCM juzi walijifanya kuwa ni BAVICHA wanaopinga katiba mpya huku wakiwa wamevalia T-shirt za kuhamasisha katiba mpya[emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna mtu yeyote ambae...
  14. M

    CWT, hakuna tena haja ya T-shirt; Mei Mosi imepita

    CWT walishindwa kutoa T-shirt kwa wanachama wake kwa wakati hivyo hakuna haja ya kuwaletea tena wanachama wake tukio limeshapita hilo.
  15. kokudo

    Nipeni maarifa kuhusu biashara ya kuprint Tshirt

    Wakuu Habari za majukumu, naomba kujua kuhusu hii biashara ya kuprint Tshirt hasa ile local ambayo wanatumia ki unao flani hivi. Nachotaka kujua, namna unavyoweza kujifunza kukitumia hicho kifaa je logo kabla hujai print unaifitisha vipi kwenye hicho kimachine? Mwenye darasa tafadhali tufungue...
Back
Top Bottom