Wadau Katika pita pita zangu nimekuta na hii habari, binafsi siamini kama kweli Watendaji wa Serikali ya Katavi wamelikalia KIMYA suala hili hebu tusubiri tuone kama kuna Uwajibikaji kwa Wahusika au Mpaka Waziri Mkuu atoke Japan aende Katavi.
====================
Taa za disko zafungwa ICU...