Habari wanajamii? Kama Uzi unavyojieleza, Toka 2018 nimekuwa mwalimu wa hiari WA somo la fizikia, kutokana na kukosa kazi ya taaluma niliyoisomea, nimesoma Bsc. Information systems, nilikua mnyonge sana Kwan private schools hata muda WA kwenda kwenye interview huupati.
Jana nimepigiwa simu...