taarab

Taarab is a music genre popular in Tanzania and Kenya. It is influenced by the musical traditions of the African Great Lakes, North Africa, the Middle East, and the Indian subcontinent. Taarab rose to prominence in 1928 with the advent of the genre's first star, Siti binti Saad.According to local legend, taarab was popularized by Sultan Seyyid Barghash bin Said (1870-1888). He enjoyed luxury and the pleasures of life. It was this ruler who initiated taarab in Zanzibar and later it spread all over the African Great Lakes region. The sultan imported a taarab ensemble from Egypt to play in his Beit el-Ajab palace. He subsequently decided to send Mohamed Ibrahim from Zanzibar to Egypt to learn music and to play the Kanun. Upon his return, he formed the Zanzibar Taarab Orchestra. In 1905, Zanzibar's second music society, Ikwhani Safaa Musical Club, was established, and it continues to thrive today. Ikwhani Safaa and Culture Musical Club (founded in 1958) remain the leading Zanzibar taarab orchestras.

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Sijawahi ona mtu ameandika JF kujisiifia amepeleka mtoto English Elementary ila Wazee wa Kayumba ni taarab kila kona ili wapate faraja ya uamuzi mgumu

    Ndugu yangu, kila mtu afanye kwa uwezo wa mkono wake unapofikia. mbona wewe ukienda pub kuonja kidogo, unavutiaga watoto wazuri wa gharama ya juu, ushawahi kusikia DJ au bartender analalamika kuwa unapoteza pesa hapo 🤣🤣
  2. Eli Cohen

    Aina ya mwanamke anayekuwa entertained siku hizi ndio kirusi cha kumharibu huyo binti yako mdogo

    Siku hizi hakuna cha inspiration za bibi titi mohamed. Siku hizi unakutana na mwanamke mwenye mafanikio na alama katika taifa lakini njia ya kufika kwake ilikuwa kujipost uchi uchi mtandanoi, kuishi kwa scandal, kulamba pipi kijiti za wakubwa, kuhongwa na wanaume za watu then kupata connection...
  3. Justine Marack

    Dis - track ya taarab. Iliyomvuruga Khadija Kopa. Utalijua jiji

    Hadija Kopa amevikwa Cheo Cha Malikia wa mipasho. Lakini kiuhalisia ameshawahi kushindwa katika vita ya mipasho kubaki muziki wa taarab. Tukitaka kutenda haki basi Malikia wa Mipasho anapaswa kua bibie. Afua Suleiman. Ukitoka kuelewa huyu Afua nenda sikiliza Wimbo wa Taarab unaoitwa Utalijua...
  4. Baltasar

    Taarab: Special thread

    Hii ni special thread Kwa wapenzi wa muziki wa mwambao wa Pwani. Natoa nafasi - Zuhura shaabani
  5. MamaSamia2025

    Wakazi kaonyesha kipaji kwenye Muziki wa Taarab. Ana pesa zake nyingi kwenye Muziki wa Mwambao

    Mimi kama mtu mwenye talanta ya kuweza kuona vipaji vya watu ambapo wakati mwingine wenyewe hawavioni ninapenda kuutaarifu umma kuhusu kipaji kipya nilichokiona. Ndugu yetu Wakazi Wasira ambaye anatajwa kama mwanafamilia ya muziki wa Hiphop amekuwa akipoteza muda kurap wakati kipaji chake halisi...
  6. USSR

    Khadija Kopa avunja ukimya anatafuta mume

    Queen wa Mwanyamala asiyekwisha utamu mama Zuchu A.K.A Makopa ameweka wazi kuwa sasa amechoka kukaa peke yake, anatafuta mwenza ila awe mtu mzima. Sasa ameamua kutulia. USSR
Back
Top Bottom