Taarab is a music genre popular in Tanzania and Kenya. It is influenced by the musical traditions of the African Great Lakes, North Africa, the Middle East, and the Indian subcontinent. Taarab rose to prominence in 1928 with the advent of the genre's first star, Siti binti Saad.According to local legend, taarab was popularized by Sultan Seyyid Barghash bin Said (1870-1888). He enjoyed luxury and the pleasures of life. It was this ruler who initiated taarab in Zanzibar and later it spread all over the African Great Lakes region. The sultan imported a taarab ensemble from Egypt to play in his Beit el-Ajab palace. He subsequently decided to send Mohamed Ibrahim from Zanzibar to Egypt to learn music and to play the Kanun. Upon his return, he formed the Zanzibar Taarab Orchestra. In 1905, Zanzibar's second music society, Ikwhani Safaa Musical Club, was established, and it continues to thrive today. Ikwhani Safaa and Culture Musical Club (founded in 1958) remain the leading Zanzibar taarab orchestras.
Ndugu yangu, kila mtu afanye kwa uwezo wa mkono wake unapofikia.
mbona wewe ukienda pub kuonja kidogo, unavutiaga watoto wazuri wa gharama ya juu, ushawahi kusikia DJ au bartender analalamika kuwa unapoteza pesa hapo 🤣🤣
Siku hizi hakuna cha inspiration za bibi titi mohamed.
Siku hizi unakutana na mwanamke mwenye mafanikio na alama katika taifa lakini njia ya kufika kwake ilikuwa kujipost uchi uchi mtandanoi, kuishi kwa scandal, kulamba pipi kijiti za wakubwa, kuhongwa na wanaume za watu then kupata connection...
Hadija Kopa amevikwa Cheo Cha Malikia wa mipasho. Lakini kiuhalisia ameshawahi kushindwa katika vita ya mipasho kubaki muziki wa taarab.
Tukitaka kutenda haki basi Malikia wa Mipasho anapaswa kua bibie.
Afua Suleiman.
Ukitoka kuelewa huyu Afua nenda sikiliza Wimbo wa Taarab unaoitwa Utalijua...
Mimi kama mtu mwenye talanta ya kuweza kuona vipaji vya watu ambapo wakati mwingine wenyewe hawavioni ninapenda kuutaarifu umma kuhusu kipaji kipya nilichokiona. Ndugu yetu Wakazi Wasira ambaye anatajwa kama mwanafamilia ya muziki wa Hiphop amekuwa akipoteza muda kurap wakati kipaji chake halisi...
Queen wa Mwanyamala asiyekwisha utamu mama Zuchu A.K.A Makopa ameweka wazi kuwa sasa amechoka kukaa peke yake, anatafuta mwenza ila awe mtu mzima. Sasa ameamua kutulia.
USSR
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.