taasisi binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msaada: Nahitaji kufahamu kuhusu kuanzisha taasisi

    Habari za muda huu wana JF,nahitaji kufahamu ni mambo gani ya msingi yanayohitajika ili kuanzisha taasisi. Na je taasisi inaweza kuanzia ngazi ya Kijiji au kata? naombeni msaada wenu ndugu zangu.
  2. A

    KERO ESS mkopo ni changamoto kwa taasisi binafsi

    Habari wana jukwaa, Naomba kutoa pongezi nyingi kwa Serikali kuturahisishia huduma kiganjani kupitia mfumo wa ESS kwa watumishi wa umma Kero yangu ni kuwa katika kipengele cha e-mkopo taasisi nyingine binafsi hazijaweka namba ya makato nazungumzia taasisi kama ABC, Maboto, tunakopesha nk...
  3. 4

    Nimejiridhisha waliotumbuliwa kwa vyeti feki ndo wamejazana taasisi binafsi hasa secta ya Afya

    Wakuu jf Mungu amewabariki popote mlipo na ilisha kua labda tu kwa mafisadi tu Mwaka 2017 aliekua Rais wa JMT alitumbua watumishi wa umma waliokua na vyeti feki katika kada mbalimbali, may be lengo lake ilikua vijana wasio na doa kwenye Elim ,kupata ajira Ila kwa uchunguzi wangu hawa...
  4. (Tanzania) Clean up your data headaches! Jump into Power Query training and see how it can make your data work way easier.

    Why Choose Power Query Training with Us? Hands-On Learning: Our training is practical and hands-on, ensuring you gain real-world skills that you can apply immediately. Expert Guidance: Learn from experienced instructors who will guide you through the ins and outs of Power Query. Supportive...
  5. S

    Serikali au Taasisi Binafsi naomba muwekeze kwenye michezo hii miwili niliyobuni kutokea hapa hapa Tanzania

    Hello heshima kwenu ndugu zangu! Mimi ni kijana Mtanzania mpenda michezo, na katika kujihusisha sana na michezo, Mungu amenijalia kujipata kwa kuja na aina mbili za michezo. Mchezo wa kwanza utakuwa ukijulikana kama FENCEBALL au Mpira wa uzio. Na mchezo wa pili utajulikana kama REMAVOLLY...
  6. J

    Naomba Ushauri wa Namna ya Kuanzisha Taasisi Binafsi ya Upelelezi Nchini Tanzania

    Tangu muda mrefu nimekuwa nikiwiwa kutaka kuanzisha Taasisi au Kampuni Binafsi ya Upelelezi hapa nchini Tanzania ili kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali ambayo yanahitaji kuchunguzwa. Kikwazo kikubwa kinachoikabili hii dhamira yangu ni kutokufahamu namna au utaratibu rasmi ambao...
  7. Natafuta nafasi ya kujitolea katika taasisi binafsi, NGO au sehemu yoyote

    Habari zenu wanajamii, Mimi ni kijana wa Kitanzania, nina miaka 25, mhitimu wa chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU). Nimesomea shahada ya sanaa katika Uchumi wa Maendeleo ya jamii (Bachelor of Arts in Community Economic Development) Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi wa kutumia Computer hasa...
  8. Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6. Mamlaka ya chakula na dawa 7. SSRA 8. NSSF/PSSSF 9. BOT 9. Bunge 9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…