DK. MWINYI AKUTANA NA UONGOZI WA TAASISI YA BIG WIN
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Taasisi ya Big Philanthropy ya Uingereza kushirikiana na Serikali kwa mpango wa lishe mashuleni katika kupunguza utoro na kuongeza ufaulu.
Rais Dkt...