taasisi ya mwalimu nyerere

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Tumuombee sana Mzee Butiku wa taasisi ya Mwalimu Nyerere

    Juzi kaitisha press conference kuelezea hali ya usalama inavyoendelea nchini baada ya mauaji ya Mzee MeD kiongozi wa CHADEMA. Mimi kwangu kule nakuita kujilipua na uthubutu wa aina yake katikati ya mazingira tuliyo nayo sasa... Maana kusema KWELI na kwa UWAZI kwasasa ni kujitafutia majanga...
  2. J

    SI KWELI Joseph Butiku azitaka Balozi nchini kufuatilia kanuni za Kidiplomasia na kuheshimu masuala ya Ndani ya nchi

    Nimeona barua ya Mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akizitaka. Hii ni baaada ya balozi hizo kuanza kuingilia masuala ya ndani ya nchi kufuatia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA siku chache zilizopita. Nimependa sana ujasiri huu, ni lazima hawa...
Back
Top Bottom