tabata mawenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Tabata Mawenzi pamekuwa na shida ya maji zaidi ya siku 10 mpaka sasa, DAWASA Tabata hawajatoa ufafanuzi kama ni mgao wa maji umeanza

    Mapato yanayopatikana kwenye malipo ya maji si yangeboresha upatikanaji wa maji, na kama inawezekana wafanye utafiti wa kuchimba visima vikuu vya kila wilaya kuliko kusubiri maji ya mto Ruvu maana maji tunayachota yana chumvi nyingi hayafai kwa afya ya tumbo
  2. Crocodiletooth

    Nimeishi Tabata kwa miaka 10, barabara ya Mawenzi hufanyiwa matengenezo makubwa kila baada ya miaka miwili

    Asalaam aleykum jamiyah, Nalazimika kuuliza na kuhoji inakuwaje mkandarasi anashindwa kutoa ushauri makini, juu ya ujenzi wa bara bara, unaorudiwa mara kwa mara na kupoteza fedha za umma kila kila wakati badala ya fedha hizo kutumika kwenye mambo mengine ya kimaendeleo? Kwanini kila wakati tui...
Back
Top Bottom