Wadau wa JamiiForums, habari!
Kuna mambo fulani ukiyatafakari sana kuhusu sisi Watanzania, unajikuta unashangaa na kustaajabu! Ni kana kwamba kuna mfumo maalum unaotusukuma kurudia makosa yale yale, bila kujifunza, bila kubadilika, na bila kuona aibu. Je, ni nini hasa kinachoturudisha nyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.