tabia za mtu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Manyanza

    Tabia za mtu ambaye utotoni mwake amedekezwa sana

    Mwanaume ambaye utotoni amedekezwa sana -Anakuwa na misimamo mikali sana (rigid), mwengine anakuwa legelege sana kiasi kwamba kila kitu anamtegea mama yake na dada zake -Hawezi kudumu na Mwanamke,kwa maana anakuwa anapenda sana ulevi kupindukia, uvutaji bangi,kutumia fedha nyingi sana bila...
  2. puker

    Kuna aina ya watu humu Duniani nawachukia sana😠

    Habari za muda huu Wana Jf. Niende Moja kwa Moja kwenye mada husika, Kuna aina ya watu sijui roho zao zikoje, tuseme ndio roho mbaya au vipi. Nafahamu tumetofautiana tabia na mienendo kutokana na makuzi na mazingira tuliyokulia. Kuna aina ya watu wakikupa kazi. Let say ufundi wa aina Fulani, au...
  3. Moto wa volcano

    Usizae na mtu kama haujajiridhisha vigezo vyako

    Kila binadamu ni mbegu, ukizaa na mtu tegemea hao watoto wako watafanana tabia na muonekano sawa na uliyezaa naye hadi uwezo wa kiakili.. kabla haujafikiria kuchanganya damu na mtu hakikisha umejiridhisha kila kitu kuanzia tabia , muonekano wa huyo mtu na uwezo wa kiakili
Back
Top Bottom