Wakuu Achimwene!!!!
Kuna siku nilienda kuhudhuria tamasha la wasanii walikuja hapa mkoani kwetu wakitokea Dar.
Wasanii waliokuja asilimia 80 walikuwa ni ma legend mf..nature, Daz baba, Linna, Fido vato, n.k.
Sasa kitu kilichonishangaza kuhusu wahuni wa hapa ni ukorofi na ubishi wao.
Jamaa...