Kuna jambo moja hatulifahamu sisi Waafrika nalo si jengine bali ni kulinda tamaduni zetu za Kiafrika,tumeshindwa kabisa kulinda tamaduni za kiafrika kutokana na changamoto za kimazingira ambapo kimsingi kunakuwa na athari katika tamaduni zetu.
Tamaduni ni mfumo mzima wa maisha ni kitu ambacho...
Mwalimu: Ndugu mzazi nakuomba uje shule, mwanao anatupa wakati mgumu
Mzazi: Ndugu mwalimu, hata huku anatupa wakati mgumu kuliko ambavyo unafikiria lakini hatujawahi kukuita
Bongo Nyoso..!!!!