tafsiri ya ndoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. baharia 1

    Nasumbuliwa na hii ndoto

    Habari wakuu Mim huwa naota ndoto nyingi ila hii yajuzi nimeona niitilie manani kidogo maana mpaka leo sijapata majibu Mimi naishi hapa hom na mam lakn kwasas anaumwa umwa kdg, mzee alishafariki na kuna kaka angu alifariki mda sana kabla hata mimi sijaanza shule nilikuwa mdogo ila nakumbuka...
  2. ndege JOHN

    Ijue tafsiri ya ndoto ya kuumwa Nge kwenye mkono wa kushoto

    Ni nini tafsiri ya kuumwa kwa nge katika ndoto Tafsiri ya ndoto kuhusu kuumwa kwa nge Inachukuliwa kuwa moja ya ndoto zinazosumbua sana kwa mwonaji, kwani ng'e ni mmoja wa wadudu ambao husababisha shida nyingi katika tukio la kuchomwa naye, kwani ni sumu na inaweza kusababisha kifo wakati...
  3. kancher

    Ndoto za simba na tafsiri zake katika matukio tofauti

    Simba ndiye mnyama mwenye nguvu kuliko wote katika uso wa dunia, na anajulikana kwa jina la mfalme wa porini, na kumuona katika ndoto ni moja ya maono ya mara kwa mara kwa watu wengi, kwani ni moja ya maono ambayo humtesa mmiliki wake kwa hofu na hofu, tafsiri ya ndoto hiyo inatofautiana...
  4. Mandela5599

    Tafsiri ya ndoto ya kurudi nyumba uliyokuwa unaishi zamani au kurudi kijijini kwenu

    Kuota unarudi kijijini ulipozaliwa, ulipoishi zamani. Umelala au kuingia kwenye nyumba ya zamani ya kijijini kwenu ambapo pengine hiyo nyumba haipo tena. Kuota upo kijijini kwenu na kuona unapitia mazingira flani huko maana yake ni kwamba; Matatizo ulionayo kwa wakati huo chanzo chake ni huko...
  5. Mama Mwana

    Ninaomba tafsiri ya ndoto hii

    Hamjambo, Usiku wa kuamkia leo nimeota nipo kwenye mji mwingine, ni kama "lost city" ambapo hakuna mtu lakini majengo yake ni makasri, kama yale kwenye filamu za katuni, mfano jengo la Disneyland. Nimeota hayo majengo ni chakavu, na nje kuna sanamu za farasi aliyepandwa na mtu akiwa...
  6. Mhafidhina07

    Usihangaike kutafuta maana ya ndoto, picha unazoziona tafsiri yake ni wewe

    Ushawahi kujiuliza kwanini umeota askari anakukamata na kukuweka kituo? Kuna wengine wanaota ndoto za majoka na wanyama wengine. Basi nikwambie tu,ndoto ni fahamu zako na ikiwa huzitambui fahamu zako basi ni ngumu kutafsiri ndoto,unapoenda kwa viongozi wa dini sometimes wanakosea. Lets say...
  7. Kidagaa kimemwozea

    Nimeota zaidi ya mara tatu napigana na baba. Nini tafsiri ya ndoto hii?

    Inakuwaje zaidi ya mara tatu naota napigana na mshua😂, yaani tunapigana sana na mawe wakati mwingine namhurumia lakini na yaye ananitupia mawe inabidi na mimi nimrushie. Yaani tunapigana sana 😭, ni ndoto ya kujirudia pamoja na kuwa tuna mahusiano mazuri. Tafsiri tafadhali.
  8. Mhafidhina07

    Naomba kueleweshwa maana ya ndoto hizi?

    Sijafahamu kama ninaishi katika hali halisi au katika eneo la kufikiria tu. Kuna tabia ya kuamka saa 8 usiku, saa 6 au saa 9, na sababu ikiwa ni ndoto – iwe mbaya au nzuri – huwa naamka. Kwa bahati mbaya, ndoto za sasa zimejenga hali ya tahadhari na kunipa hofu kwamba kuna kitu kibaya...
  9. KING MIDAS

    Nimeota nadaiwa USD. 6000/ kwa kulala siku 3

    Hii ndoto nimeitafakari sana Na sijaielewa. Nimeota niko kwenye nyumba Fulani nzuri sana, ndio naamka kitandani. Nikaanza kujiuuliza hapa ni wapi? Nikaingia washroom, nikapuuh kisha nikasema nitoke nje huenda nikajua niliko. Kiunoni Nina taulo tu, nikawaona mabinti wamekaa kwa nje, nikawa...
  10. donlucchese

    Wataalam wa ndoto, naombeni ufafanuzi wa hili

    Habari wakuu, Juzi niliota nikamuona jamaa mmoja ambaye ni mkuu wangu kwenye "kampuni" tunapofanya kazi yupo anaangalia navyopambania mchakato wangu wa kupata hela ananichek kwa jicho kama anataka kwamisha mishe yangu (na yeye ndio mkuu wa ofisi ya pesa), kesho yake kazini asubuhi namuona...
  11. Mla Bata

    Nini tafsiri ya ndoto hii

    Wasalaam, Watafsiri ndoto, watu wa Imani, manabii, wanajimu....n.k, naombeni msaada wenu. Ipo hivi..... Kuna aina ya ndoto nimekuwa nikiota kwa muda mrefu sana kwenye maisha yangu, over 7+ years, nashindwa kuelewa maana yake na kwanini zimekuwa zikijirudia kwa namna yake kwenye hali tofauti...
Back
Top Bottom