taifa stars vs drc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rhz4567

    Maajabu: Inawezekana vipi mashabiki wa kigeni kuwa wengi kuliko wenyeji?

    Mwenye macho haambiwi tazama Leo Taifa kwa ujumla wamepata aibu yaani kwenye mechi ya Taifa starz VS DR Congo. Mashabiki wa congo wengi kuliko mashabiki wa Taifa Starz ndani ya uwanja wa nyumbani B.W.Mkapa stadium? Kweli? Hivi ni kwasababu watanzania hawapendi timu yao ya Tanzania au wacongo...
  2. M

    Wasemaji Ibwe, Kamwe na Ahmedy wafungiwe haraka ndiyo walisababisha Taifa Stars ifungwe

    Kufungwa kunauma sana. Ila hawa wasemaji wakamatwe na wafungiwe kwa muda kuzungumzia mpira. Hawa wanamchango mkubwa sana kuharibu national team hasa kwa kupata matokeo mabovu leo. Mfano katika press yao ya kuhamasisha walianza kuleta taharuki kwa kuhusiha mechi ya trh 19. Hii tayari ilipeleka...
  3. Suley2019

    Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025. Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo...
  4. Erythrocyte

    Akili za Wachezaji wa Tanzania ziliwaza Game ya Simba na Yanga Tarehe 19

    Wachezaji wa Tanzania hawana Uzalendo na Timu yao ya Taifa, wanapenda vilabu vyao zaidi na kimsingi wanapenda pale wanapolipwa zaidi. Sijui wakiwa timu ya Taifa huwa wanalipwa sh ngapi, lakini ni dhahiri akili zao kwenye game ya leo dhidi ya DRC iliegemea kwenye mechi dhidi ya Simba na Yanga...
  5. Kabende Msakila

    It's time to Tanzanians say thank you Samatta - Mchezaji wa kimataifa acheza kama mwanandondo cup

    Jf, Salaam! Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa. * How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli? * How come mchezaji kama Kibu D...
  6. Mkalukungone mwamba

    Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

    Leo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco. Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi. Dakika, 2 Stars...
Back
Top Bottom