MAUWAJI YA KUKUSUDIA YA YAMPELEKEA KUNYONGWA HADI KUFA
Taitus Malambwa Miaka 28 Mkazi wa kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa katavi amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Mke wake baada ya kukasiri kunyimwa na Mkewe tendo la ndoa.
--
Jukumu moja...