Taka zilizokuwa zimerundikwa barabarani kwa zaidi ya siku tatu eneo la Tegeta - Kwandevu na kusababisha kero kwa waendeshaji wa vyombo vya moto sambamba na kuhatarisha afya za Wananchi umezolewa leo asubuhi Januari 21, 2024.
Kwa mujibu wa vyanzo kutoka eneo hilo wamedai asubuhi ya leo gari la...