Habari wanajamvi poleni na majukumu ya kila siku. Moja kwa moja twende kwenye mada yetu.
Aisee kumekua na hili suala la kutozana tozo mbalimbali ambazo baadhi zimekua sahihi na nyingine si sahihi. Kumekua na tozo ya takataka (sahihi) na pia tozo ya ulinzi shirikishi (si sahihi).
Tozo ya...