Katika kipindi hiki cha wasiwasi na maswali, wananchi wa Moshi Manispaa, Mkoani Kilimanjaro wanashangazwa na kimya cha Kamanda wa TAKUKURU, aliyeshindwa kutoa maelezo kuhusu tuhuma za malipo ya elimu ya msingi na risiti zimeambatishwa.
Katika bandiko langu lililochapishwa katika JF, nilieleza...