tala

  1. K

    Naomba uzoefu wa mtu aliyechukua mkopo toka Tala hivi karibuni

    Wadau, Nimeona akina Kitenge wakitangaza fursa ya mikopo kwa kampuni ya mitandao ya Tala. Napenda kujua kwa yeyote aliyewahi kuchukua mkopo Tala uzoefu wake ukoje, hasa kuhusu: 1. Kiwango cha mkopo: Je, ni kiwango gani mtu anaweza kuomba? 2. Riba: Riba yao imekaaje, na inalipwa...
  2. D

    Tetesi: Branch International nao waanza kufunga virago kama Tala

    Kutokana na hatua kadhaa zilizoanza kuchukuliwa na BOT, Hawa Branch nao wameanza kusitisha huduma za mikopo kwa wateja wengi haswa Watanzania kwa kisingizio kama Cha Tala, kuwa wanafanyia marekebisho mifumo Yao. Habari hii iwafikie wateja wao au wanaotarajia kuwa wateja wao.
  3. D

    Wangapi mmewahi nufaika na online loan (mkopo) kutoka Tala

    Wakuu Sina mambo mengi, naombeni uhakika wa utoaji wa mkopo toka Tala online loan. Niko kwenye Mazingira ambayo nahitaji pesa na nimekutana na matangazo Yao online nikaona wanaweza kuwa msaada katika kipindi hiki nachokipitia. Vipi wakuu Hawa Tala online loan ni really au chqnga la macho
  4. Tajiri Tanzanite

    Hivi mikopo ya TALA imefia wapi?

    Hapo vip!! Enzi nikiwa chuo kulikuwaga na kampuni inaitwa Tala, yaani ukijaza form yao tu, wanakupa pesa. Washikaji zangu wengi walikopa ila wengi hawakurudisha. Huyu jamaa amekuja na wazo zuri ila kwa Waafrika asili yao sio waaminifu, nina imani huo mpango kwa Wazungu ingefanikiwa kwa...
  5. nyaunyau

    Utapeli TALA mikopo

    Kuna UTAPELI mkubwa kuna watu wanajiita TALA MIKOPO,wanadanganya watu kwamba wanatoa mikopo kwa Riba ndogo,unaambiwa weka Akiba Kiasi fulani,mfano ukitaka kukopa Laki mbili unaambiwa weka 32,000,ukiweka pesa hiyo kwa mujibu wa Maekezo yao hiyo 32000 ndo inakuwa imeliwa
  6. Mpwayungu Village

    Tala watakuwa wamefilisika, mkopo wa elfu kumi vigezo lukuki kama unaomba viza ya Marekani

    Hawa majamaa kumbe sio wa kweli, ukiwa mtandaoni wanajinasibu sana kuwa unapewa mkopo ndani ya masaa machache, nimeanza kuparangana toka juzi tena wanakomandi kuanza na elfu kumi ajabu ni kuwa kila nikiattach vinakuja vigezo vingine Kwa chini mpaka barua ya mtendaji na wadhamini watatu...
  7. Frumence M Kyauke

    Wako wapi Branch na Tala?

    Ndugu zangu tunakumbuka kuwa Branch na Tala walikua wakichuana sana na kutupa mikopo ya papo kwa hapo kupitia simu yako ya mkononi. Wapo watu wengi walionufaika sana mikopo hiyo kwa namna tofauti. Ilifikia pahala Tala wakatuondokea bila taarifa yeyote ya kueleweka kitendo kilichotuumiza sana...
  8. jokotinda_Jr

    Tahadhari hawa TALA nimatapeli ......

    Hawa TALA bado wanaendelea kuwaibia watu tena kwakutumia clip za wasanii maarufu ...baya zaidi wana dai pesa utatumiwa online ... mamlaka husika haiwezi kamata hawa watu?? ...mbona vitu vingine ni rahisi kuvifuatilia mfano mikutano ya ndani ya vyama pinzani kwanini jambo ovu kama hili...
  9. MK254

    Imeshindikana kabisa kwa bisahara za kwenye mitandao (e-commerce) kule Tanzania. Jumia, Tala, Brigter Monday wote walifungasha

    Sijui ni sera za kijamaa au nini husababisha Tanzania pawe pagumu kuingilika kibiashara, haswa kwa hizi za kwenye mitandao. Brighter Monday wamehama na kuamua kuendelea na huduma zao Nigeria, Ghana, Senegal, Kenya, Uganda, na Ethiopia. Sio hao tu, wengine wengi wamefungasha na kuhama, hawa...
  10. Mkogoti

    Ninadaiwa Tala, Branch, Tigo Nivushe, Nipige Tafu, M-Pawa, Songesha. Je, mimi ni nani?

    Habari za Jumapili? Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao, lakini uchumi wa kati baba/mama kwangu ni shida sana; unasumbua sana mimi kwangu upo wa mwisho...
  11. Goodluckmkali

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi na kurejesha kidogokidogo mahali popote na wakati wowote. Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu vifuatavyo:- (a)uwe na kitambulisho, eidha cha kupigia kura, cha taifa au leseni ya udereva. (b)laini ya...
Back
Top Bottom