tambaza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dkt. Bushiri Tamim Nimjuaye na Al Hajj Abdallah Tambaza

    SHAJARA YA MWANAMZIZIMA: DK BUSHIRI TAMIM NIMJUAYE Na Alhaji Abdallah Tambaza ALHAJI Dkt. Bushiri Salum Tamim (74), aliyefariki Ijumaa Mei 18, mwaka huu, kwenye Hospitali ya Taifa, Muhimbili, alikuwa si tu daktari wa kawaida aliyestaafu kazi hospitalini hapo; lakini pia alikuwa mmoja wa...
  2. RafikiNdugu: Abdallah Tambaza na Kleist Sykes

    ABDALLAH TAMBAZA NA KLEIST SYKES Nafungua gazeti la Raia Mwema nimekuta katika ukurasa maarufu wa Shajara ya Mwana Mzizima makala haya, "Huyu Ndiye Kleist Sykes Meya Aliyebuni Mradi wa Mwendokasi." Abdallah na Kleist ni marafiki toka udogo wao walipoanza kusoma Al Jamiatul Islamiyya School Mtaa...
  3. Kalamu ya Alhaj Mohamed Tambaza

    KALAMU YA ALHAJ ABDALLAH TAMBAZA ''Lakini Abdallah Laatasi, ambaye ni mjukuu wa Diwani Omar Laatasi, anakumbukwa zaidi katika mchango wake katika kufanikisha kupatikana uhuru wa nchi hii; kwani yeye na hayati mkewe Bi Chiku bint Said Kisusa (Mama Sakina); walikuwa mstari wa mbele kukijenga...
  4. Vita ya Azania na Tambaza (1993 - 1994)

    VITA YA AZANIA NA TAMBAZA (1993 - 1994) Mwaka 1993 Jeshi la Sekondari ya Tambaza liliivamia Sekondari ya Azania kutokea Bonde la Jangwani nyuma ya Hospitali ya Muhimbili baada ya juhudi za kutama kusitisha mapigano kushindikana! Kufumba na kufumbua, askari wa Tambaza walirusha makombora na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…