tamu sana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Bia ipi nzuri?

    Mi niko Mbeya town nauliza kwa wadau wanaojua bia gani tamu na inalewesha inapatikana wapi na shingapi kwa moja na kwa katoni..?
  2. D

    Nchi imekuwa tamu sana. Mzunguko wa pesa mzuri mno na pesa iko mtaani tofauti na miaka mitano iliyopita. Hivi mama ulikuwa wapi?

    Tumeteseka sana miaka mitano iliyopita mtaani kulikuwa kugumu sana kiasi ambacho pona pona yetu ikawa ni kusaka ajira ambazo zilikuwa hazipo both private and public sectors. Watu kila siku walikuwa wanafunga biashara zao na automatically wafanyakazi wanaondolewa wote. Mfano uchumi super...
  3. P

    Salamu kutoka Marekani: Nimekula taco, ni tamu sana

    Wakuu vyakula vya Marekani sio vyepesi sana kujisosomola maana mimi nishazoea ugali mgumu sasa huku ni mwendo wa madude fulani ya ajabu ajabu. Ila nikasikia wanasifia sana Taco nikaona ngoja nilo hilo taco wanalolisifu. Aisee taco ni tamu mno, na leo nitakula matako mengine. Picha ya Taco
  4. J

    Msimu ujao ligi iwe walau na timu 18 ili tufurahie

    Ligi kuu imekuwa tamu sana, sema mechi chache sana. At least ziwe timu 18 tupate wasaa wa kuenjoy football. TFF board do something. We already have growth in football lets improve it.
  5. konda msafi

    Dar miaka ya nyuma ilikuwa tamu sana

    Nakumbuka miaka ya 2001 kuja mpaka 2014 hivi Dar ilikuwa tamu mno. Maeneo ya Sinza na Mwenge ilikuwa maeneo matamu sana kuishi. Dah! Jamani Sinza ilikuwa tamu balaa, watoto wa Sinza walikuwa wakali balaa, hata sehemu zingine za uswazi nako watoto walikuwa wazuri balaa ila Sinza ndio ilikuwa...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Raha, Tamu na chungu ya VPN

    VPN bana 🙌🏾😂😂😂 nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea 🇰🇷!!! 📢
Back
Top Bottom