Salaam wadau,
Kwa tuliosoma tangazo la nafasi za kazi Tanapa na kulielewa vizuri.
Tafadhali nitofautishie tofauti kati ya post 14 za WILDLIFE LAW ENFORCEMENT na post 90 za WILDLIFE LAW ENFORCEMENT (rangers).
Labda tuanzie hapa, Je wote wanatakiwa kuwa na cheti cha Jkt? Inaongeza advantage...