tanesco mwanza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Msaada: Jinsi ya kuunganishiwa umeme

    Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini? Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…