Tanga City Council (Halimashauri ya Jiji la Tanga, in Swahili) is one of eleven administrative districts of Tanga Region in Tanzania. The District covers an area of 596.5 km2 (230.3 sq mi) of which includes the historic city of Tanga and the Port of Tanga. Tanga district is bordered to the north by Mkinga District, to the east by the Indian Ocean, to the south and west by Muheza District. The district is comparable in size to the land area of Guam. The administrative seat is the ward Central . The district is the administrative and economic center of Tanga Region. In Swahili, the word Tanga means "sail". The City was also the theater for the battle of Tanga. According to the 2022 census, the district has a total population of 393,429.
Wakuu habari zenu
Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe
mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini
Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia...
Hapo zamani wakazi wa halmashauri ya wilaya ya Handeni na vijiji vyake walilazimika kwenda Tanga mjini hospitali ya Bombo au kwenda Muhimbili Daresalaam kwaajili ya huduma za kibingwa, lakini kwa uwekezaji uliofanywa na Rais Samia kwenye afya, shida hizo zimetatuliwa.
Hawa ni baadhi ya wakazi...
Aminia sana wakuu. Moja kwa Moja kwenye Mada, Wakuu Naomba mnipe uelekeo nahitaji kujua sehemu gani TANGA MJINI ambayo naweza nikapata kazi zile nzito nzito za ujenzi au kubeba zege au kwenye viwanda vya nondo vya wahindi kama vipo, Viwanda vya cement, Kushusha mizigo nk. Ili nikatafute kazi...
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Ally Mwalimu, amejiandikisha katika daftari la orodha ya wapiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024.
Ummy ametekeleza haki yake hiyo ya kikatiba katika mtaa wake wa Suji, uliopo kata ya Mzingani, ambapo pia ametumia...
Leo mechi ya Yanga mmeamua kutukatia umeme tena muda uleule wa mpira kuanza, mmehongwa na wenye kumbi za kuonyesha mipira na starehe mighahawa mikubwa? ili watu waende huko.
Uzi wa tatu huu kuandika kuhusu tuhuma zenu. Waathirika Makorora, Msambweni, Mikanjuni, Duga, Magomeni.
TANESCO Tanga mjini mmeanza hujuma kukata umeme kipindi cha michuano ya mpira EURO 2024 ili watu waende kwenye kumbi za mipira wasiangalizie majumbani kwao, waathirika wakubwa ni Makorora, Msambweni, Mikanjuni na maeneo mengine.
Baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO Tanga siyo waaminifu huenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.