tangauwasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    KERO TANGAUWASA sasa ni wiki hakuna maji, acheni uzembe huu usio na kipimo

    Sasa ni wiki hakuna maji sehemu za Jiji la Tanga. Nobody cares! Angalia tatizo ni nini na mtupe maji! Atakaye kuwepo mkutano wa leo wa Samia Mkwakwani stadium, please raise this issue maana sasa ni very serious! Mbunge Ummy take note of this!
  2. R

    TANGAUWASA fuateni ratiba ya mgao wa maji mlioueka

    Fine mmeweka ratiba, ifuateni basi. Leo 24/2 maeneo kama yalivyooneshwa kwenye ratiba hakuna maji kabisa. Everything is in shamble!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…