tango

Tango is a partner dance, and social dance that originated in the 1880s along the Río de la Plata, the natural border between Argentina and Uruguay. It was born in the impoverished port areas of these countries, where natives mixed with slave and European immigrant populations. The tango is the result of a combination of the German Waltz, Czech Polka, Polish Mazurka, and Bohemian Schottische with the Spanish-Cuban Habanera, African Candombe, and Argentinian Milonga. The tango was frequently practiced in the brothels and bars of ports, where business owners employed bands to entertain their patrons with music. The tango then spread to the rest of the world. Many variations of this dance currently exist around the world.
On August 31, 2009, UNESCO approved a joint proposal by Argentina and Uruguay to include the tango in the UNESCO Intangible Cultural Heritage Lists.

View More On Wikipedia.org
  1. Bei ya tango sokoni imekuwa kubwa

    Dar hapa bei ya tango sio poa Tango 1 linaanzia 1000 kupanda juu Zamani tulinunua sh 100 tu Matango Yana kazi nyingine huko Dar Matango yanaadimika au be mkasi Matango hayapendwi na watoto na watu wengi Huwezi kula tango zaidi 1 Kwanini bei iwe kubwa hivi Namalizia utafiti wangu wa...
  2. Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

    Wanabodi, Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu. Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu...
  3. "It takes two to tango" sijui kama waliomsikia mama Samia walisikiliza vizuri

    Mh. RJMT mama Samia wakati anahutubia taifa kupitia hadhara ya siku ya wanawake duniani iliandaliwa na BAWACHA alitumia msemo wa kiingereza it takes two to tango. Kimetokea kilichotokea hadi kikazaa maridhiano ila inavyowekwa ni kana kwamba upande mmoja (CHADEMA) ni msafi na makosa yaliyoleta...
  4. Ule mwiba kwenye tango pori, kumbe ni mchongoma! 🤔 Ni aibuu ya mwaka!

    Hatimaye jana katika kupenya penya huku na huko katika jiji la dar, nikapata kisa cha ule mwiba kwenye lile tango pori. Iko hivii yule mkulima aliyepanda matango yake na hatimaye kugeuka matango pori, hakuwa muumini sana wa tiba zetu za mimea. Akaamua kuwalisha wana wa kinondoni na sinza...
  5. N

    SoC02 Afya: Tango na faida zake mwilini

    Mara kadhaa tumekua tukitumia Tango kama moja ya matunda yetu. Lakini je umepata kujua kazi za Tango mwilini? Makala hii itaangazia faida kedekede za Tango katika mwili wa binadamu. Wengi wetu tumekua tukila matunda kwa kupenda ladha yake lakini hatujapata bahati ya kujua kwa undani faida za...
  6. Ujue uwezo wa tango kuzuia tezi dume

    Miaka mingi kidogo nilikutana na dada mmoja kutoka visiwa vya Caribbean, alinieleza umuhimu wa wanaume kula matango. Aliendelea kuwa kwao mtoto wa kiume anahimizwa kula tango walau moja kila siku baada ya kufikia umri wa balehe. Dada huyu aliniambia pia kama una mgonjwa wa tezi dume kamua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…