tanki bovu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    IGP to polisi wa Kawe watu wanakufa maeneo ya Mbezi Beach Rainbow mpaka Tanki Bovu

    Mh. IGP shkamoo popote ulipo. Naomba nikujuze tu, kuna watu wamekufa ndani ya wiki hii na haijaandikwa kwa magazeti. Wapo waliokatwa mapanga nayo haijaandikwa popote. Mh. IGP kutokea Rainbow mpaka Tanki Bovu hali si sawa baba yetu, watu wanauawa, wanakatwa mapanga sana. Mbaya zaidi ni mita 30...
  2. N

    DOKEZO Tunataka kufanya kosa gani, eneo la Bondeni-Tank Bovu (Dar) kupitisha njia ya mwendokasi kwenye daraja la kawaida, Serikali iwaze upya

    Wanajukwaa nimeona nilite jambo hapa jukwaani nikiamini kuna macho ya Serikali yanaweza kuwepo yakaliona wakalichukua kwa maslahi zaidi na kulifanyia kazi au wakawa nao na mtazamo tofauti wenye tija zaidi wakaubanisha tukajua na kuondoa wasiwasi juu ya uwajibikaji wao. Nimekuwa nikipita kwenye...
  3. Pdidy

    Tanki Bovu maeneo ya Puma na Rainbow sio salama tena kutembea usiku

    Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home. Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia Pale kona ya Makaburini Luventry nilikuta kijana mmoja na Girlfriend au Mke wake wamekatwa mapanga...
Back
Top Bottom