The COVID-19 pandemic was confirmed to have reached Tanzania in March 2020.Tanzanian authorities stopped reporting case numbers in May after President John Magufuli alleged that laboratories were returning false positives.
Habari za Jumapili wananchi wenzangu, nimekuwa nikijiuliza maana halisi ya uzalendo.
Tumekuwa tukisikia viongozi mbalimbali wakisisitiza wananchi kuwa wazalendo, na wakati mwingine wakilalamikia kinachoitwa "kupungua kwa uzalendo."
Kwakuwa JF ni home of Great thinkers iwapendeze kunijibu, je...
ELIMU BORA ITAKAYO FANYA MAPINDUZI YA KIUCHUMI TANZANIA
Neno elimi lina dhana pana sana ki maana, wapo walio sema elimu ni dira, elimu ni ufunguo wa maisha n.k
Kwa maana hiyo basi elimu ni mchakato ambao maarifa, tabia, mila na maadili ya jamii moja hupitishwa kwa ajiri ya kizazi kijacho...
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza...
Cheers!
Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema kwa kuendelea kuruhusu mpaka sasa pumzi ipite katika virija vya mwili huu.
Tukiwa tunakaribia kufunga mwaka 2020 karibu tutiririke mambo mbali mbali na matukio muhimu yaliyotokea mwaka huu (2020) katika maeneo mbali mbali hapa nchini na hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.