tanzania bila mkaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Mkaa una thamani kuliko uhai wa mtu? Maliasili Tabora mjitafakari

    Maliasili wako tayari kudhulumu uhai wa mtu kisa Mkaa, Mamlaka zichukue hatua stahiki kinachoendelea Tabora sio haki, sio utaratibu. Mtu yupo Main Road kabeba gunia moja la mkaa na magunia mengine matatu ya mazao, Gari la Maliasili lina Overtake kwa kumgonga pembezoni ili kuchukua gunia moja la...
  2. January Makamba usitumie nguvu kukataza Mkaa. Bei ya Gesi ndio itaamua Matumizi

    Waziri Makamba mie nakuomba sana huu mtego wa kulazimisha matumizi ya Gesi ya kupikia wakati hata sio Raslimali ya nchi yetu yaani inaletwa kutoka nje ni hatari sana kwa Ustawi na Usalama wa Taifa letu. Ingekuwa hiyo gesi tunachimba wenyewe na tungeweka hata bei ya chini sana ambayo ingewafanya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…