Tanzania has a number of laws and regulations that govern occupational safety and health (OSH) protections for workers. The International Labour Organization reports that due to insufficient statistics and consistent reporting, it is impossible to determine the number of workplace accidents that occur in the country.
Sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu misingi ya ulinzi wa taarifa binafsi kwa lengo la kuweka kiwango cha chini cha matakwa ya ukusanyaji na uchakataji wa taarifa binafsi, kuanzisha Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, kuimarisha ulinzi wa taarifa binafsi zinazochakatwa na vyombo vya...