Katika uhalisa ndani ya taifa letu chama tawala ndio chama chenye nguvu kuliko vyama vingine ambapo Mgawanyiko huu wa sehemu mbili yani dhaifu na nguvu unaweza kuondoa demokrasia, usawa na haki.
Hii ni tofauti na vyama vya siasa vilivyopo Marekani, ambapo huko vyama. Vyote vina usawa hata kama...