North Korean–Tanzanian relations (Korean: 탄자니아-조선민주주의인민공화국 관계) are bilateral relations between Democratic People's Republic of Korea and Tanzania. Tanzania and North Korea have a long history of military co-operation, going back to their mutual support for anti-imperialist struggle in southern Africa during the Cold War.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kihistoria nchini Korea Mei 31 hadi Juni 6 mwaka huu kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais wa Korea, Yoon Suk Yeol, ziara ambayo ni hatua muhimu katika kuendelea kudumisha, kuimarisha na kuongeza ushirikiano wa moja kwa moja kati ya nchi...