tanzania kuuza umeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika. Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa...
  2. BARD AI

    Hizi hapa ahadi za wanasiasa na serikali kuhusu kuanza kuuza umeme nchi za nje

    Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake Kwa takriban miaka 6, Serikali imekuwa ikitaja mikakati ya kumaliza tatizo la Upungufu wa Umeme linalosababisha...
  3. makolola

    Wizara ya Nishati na Madini: Tanzania kuuza umeme Kenya na Zambia

    Najiuliza kabla ya kuanza kuuza wameshatenga ni kiasi gani watatumia kuanzisha viwanda vipya ili kuongeza ajira nchini? wamefikiria ni namna gani nchi nzima itafaidika na umeme huo kabla ya kuanza kuugawa kwa wageni hasa ukilinganisha ni 10% ya watz wanafaidika na umeme kwa sasa...
Back
Top Bottom