Tanzania Music Awards are national music awards held annually in Tanzania. They are also known as the Kilimanjaro Music Awards or the Kili Music Awards after their sponsor (Kilimanjaro Premium Lager). The awards were established in 1999 by the National Arts Council (BASATA) under the Tanzanian Ministry of Education and Culture.
In early 2015, when it was announced that the Kilimanjaro Tanzania Music Awards would no longer be held, the Tanzanian music industry was drenched into sadness.
Fans were left in the lurch without their own local awards, forcing them to resort to TV subscriptions to watch foreign award shows...
Wakuu.
Siku ya Jumamosi taifa zima macho yao yalikuwa pale The Superdome kushuhudia tuzo kubwa za Tanzania music awards lakini kiukweli vitu ambavyo tuliahidiwa na kitu tulichokutana nacho ni vitu viwili tofauti.
Tuzo tuliahidiwa kuwa zitakuwa na standard ya kimataifa lakini naweza kusema...
Kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wametangaza kuwa sherehe ya utoaji wa tuzo hizo itafanyika rasmi tarehe 19 Oktoba 2024, kuanzia saa nane mchana. Tuzo hizo zitatolewa katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Dar es Salaam.
Vipengele...
Hivi ndo vipengele vya Tanzania music awards 2024 (TMZ)
1, wimbo bora wa taarab wa mwaka . Malkia Leyla Rashid(watu na viatu), Mwasiti Mbwana(sina wema), Salha (dsm sweetheart), Mwinyimkuu(bila yeye sijiwezi), Amina kidevu(hatuachani)
2,Best male artist of the year. Marioo (shisha), Diamond...
Habari zenu wakuu! Natumaini mko poa na ni wazima wa afya hasa watu wa jukwaa hili la entertainment.
Nisifanye ajizi na niende moja kwa moja kwenye mada.
Mapema mwaka huu BASATA walitangaza kuwa tuzo za TMA zimerudi ambapo Seven Mosha wa Sony na Natasha Stambuli wa Boomplay walitangazwa kuwa...
Baraza la Sanaa Taifa (Basata), limetangaza kuwa Tuzo za Muziki Tanzania 'Tanzania Music Awards' (TMA), 2023/2024, zinatarajiwa kufanyika Juni 15 2024.
Kauli mbiu ikiwa ni "Kubadilisha tasnia ya Tuzo za Muziki Tanzania na Afrika kwa namna ambavyo haijawahi kutokea".
Akizungumza na waandishi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.