Tanzania Music Awards are national music awards held annually in Tanzania. They are also known as the Kilimanjaro Music Awards or the Kili Music Awards after their sponsor (Kilimanjaro Premium Lager). The awards were established in 1999 by the National Arts Council (BASATA) under the Tanzanian Ministry of Education and Culture.
Wakuu.
Siku ya Jumamosi taifa zima macho yao yalikuwa pale The Superdome kushuhudia tuzo kubwa za Tanzania music awards lakini kiukweli vitu ambavyo tuliahidiwa na kitu tulichokutana nacho ni vitu viwili tofauti.
Tuzo tuliahidiwa kuwa zitakuwa na standard ya kimataifa lakini naweza kusema...
Wakuu,
Tuzo za muziki Tanzania, Tanzania Music Awards zinafanyika leo 19 Oktoba pale Superdome Masaki ambapo washindi watatangazwa pamoja na performance kali kufanyika.
Wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo za mwaka huu ni pamoja na Marioo, Harmonize, Abigail Chams, Yammi, Zuchu, Nandy na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.