Wakuu,
Tuzo za muziki Tanzania, Tanzania Music Awards zinafanyika leo 19 Oktoba pale Superdome Masaki ambapo washindi watatangazwa pamoja na performance kali kufanyika.
Wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo za mwaka huu ni pamoja na Marioo, Harmonize, Abigail Chams, Yammi, Zuchu, Nandy na...