tanzania prisons

The National Basketball League (NBL) is the premier basketball league for clubs in Tanzania. The league consist out of twelve teams.
The champions of the NBL are eligible to play in the qualifying rounds of the Basketball Africa League (BAL).

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone mwamba

    Full Time: Simba SC 3-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League | KMC Complex | 11 Februari, 2025

    Simba SC VS Tanzania Prisons | NBC Premier League | KMC Complex | 11 Februari, 2025 Saa 10:00 Jioni VIKOSI VYA TIMU ZOTE Mechi imeanza 1' Simba SC 0-0 Tanzania Prisons 2' Simba wanapata Kona na inapigwa na Mpanzu 3' Simba wanapiga Kona ya pili 4' Sabiyanka anaoneshwa kadi ya Njano 7' Simba...
  2. vibertz

    Full Time: Young Africans 4 - 0 Tanzania Prisons | NBC premier league | KMC Complex| Disemba 22, 2024

    Katika siku nyingine, siku ya Jumapili ya tarehe 22/12/2024 timu ya Young Africans almarufu wananchi watakuwa dimbani KMC complex kuzitafuta alama tatu dhidi ya Tanzania prisons almarufu kama wajela jela. Timu ya Young Africans inajitafuta kurudi kwenye makali yake baada ya kupata vipigo...
  3. Minjingu Jingu

    Baada ya RTO kuwaonesha ubabe. Tanzania Prisons wanasema anachokitafuta atakipata

    Hakuna salamu. Sina muda wa kupoteza.
  4. Pang Fung Mi

    Tetesi: Tanzania Prisons (Wajelajela) Wadhalilishwa na RTO wa Iringa

    POLICE na Magereza wote ni Wizara Moja, inasemekana huko kunako Prisons wamesafirishwa toka ifunda hadi Iringa mjini kituo cha POLICE. Prisons walikuwa safarini kwenda Mbeya wakitokea Kagera Chanzo cha sakata ni mwendokasi wa dereva wa Prisons akiwa speed 90 badala ya speed 85. Pamoja na...
  5. Mkalukungone mwamba

    Full Time Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024

    Baada ya kutoka kuchapika dhidi ya mtani wake leo Simba SC anakibarua kizito mbele ya wanajelajela Tanzania Prisons Tanzania Prisons VS Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024 4:00 PM Dakika, 5 Simba wanapata goli la kuongoza Dakika,13 Simba wamekuwa na umiliki mzuri...
  6. anoldmedia

    Full Time: Pamba Jiji Fc 0-0 Tanzania Prisons

    Msimamo wa Ligi kuu ya #NBCPremierLeague baada Ya mchezo mmoja wa Leo FT |Pamba Jiji Fc 0-0 Tanzania Prisons
  7. anoldmedia

    Pazia la ligi kuu ya NBC kufunguliwa leo 16 Agost, 2024

    Ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC premier league kuanza kutimua Vumbi hii leo Agosti 16 2024 ambapo mchezo wa kwanza kwa msimu wa 2024/25 unapigwa leo kati Ya Pamba Jiji Fc 🆚️ Tanzania Prisons
Back
Top Bottom