Unapopata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama tawala huku taasisi nyingine ikionekana inasimama na wananchi kwa kila jambo.
Law Societies Of Kenya...