#tanzanianiitakayo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Massawe John

    SoC04 Tanzania tuitakayo sekta ya Elimu

    TANZANIA TUITAKAYO # SEKTA YA ELIMU Kwanini andiko hili limeegemea zaidi katika sekta ya elimu? Jibu ni hili katika maeneo muhimu na nyeti ambayo yakichezewa basi taifa laweza kupoteza dira na mwelekeo ni eneo hili la elimu hivyo kama tutakua makini katika eneo hili tunaweza kuitengeneza...
  2. D

    SoC04 Uwajibikaji Bora wa Viongozi kwa Maendeleo Endelevu

    "Tanzania Tuitakayo: Uwajibikaji Bora wa Viongozi kwa Maendeleo Endelevu" Utangulizi Tanzania, kama nchi inayoelekea katika siku zijazo, inahitaji uwajibikaji bora kutoka kwa viongozi wake ili kuwezesha maendeleo endelevu katika kipindi cha miaka 5 hadi 10 ijayo. Uwajibikaji huu wa viongozi...
  3. D

    SoC04 Umuhimu wa matumizi ya kompyuta na fani zake katika kujenga uchumi bora wa nchi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 5 hadi 10

    Utangulizi Katika dunia ya leo, maendeleo ya teknolojia yamekuwa msingi mkuu wa ukuaji wa uchumi wa mataifa mbalimbali. Tanzania, ikiwa ni moja ya nchi zinazoendelea, ina nafasi kubwa ya kuimarisha uchumi wake kupitia matumizi ya kompyuta na teknolojia za kidijitali. Katika kipindi cha miaka 5...
  4. J

    SoC04 Hatuwezi kuboresha Elimu ya Tanzania kama tutapuuzia mambo haya

    Serikali Na wadau wa elim wanajitahidi katika kuweka miundombinu wezeshi ili kuiboresha elim ya Tanzania kuweza kuendana Na Soko la Ajira Ambalo Kwa Kiasi Kikubwa bado Tanzania ipo Nyuma Ukilinganisha Na Nchi nyengine za Afrika. Pamoja na Jitihada hizi Haya Ndio mambo Ambayo Yataendelea...
  5. arafamghusi

    SoC04 Tanzania yenye neema

    TANZANIA YENYE NEEMA Introduction: Tanzania is beautiful country in world wide that contain beautiful and wonderful national Parks such Mount Kilimanjaro, Mikumi park, Ngorongoro, Serengeti, Sadani, Ruaha, Selous, mount Meru , Also beautiful water bodies such as lake Victoria, lake Nyasa and...
  6. U

    SoC04 Minong'ono ya uzalendo Nafsini Mwangu

    Kama ilivyo kwa vijana wengi, tuna hulka kuu ya kwenda kusoma nje ya nchi zetu, hasa kwa sababu ya scholarship au sponsorship ambapo japokuwa unasoma inakuwa ni sehemu ya kujiingizia kipato kwa namna fulani, kitaalamu tunasema unaua ndege wawili kwa jiwe moja yaani kupata elimu (vyeti) na mpunga...
  7. Said Shagembe

    SoC04 Tanzania Tuitakayo ni ile itakayojengwa juu ya misingi ya elimu, kujiamini, na ubunifu

    Tanzania Tuitakayo ni ile ambayo inajengwa juu ya misingi ya elimu, kujiamini, na ubunifu. Ni Tanzania ambapo vijana wanatumia elimu yao kama nyenzo ya kuleta mabadiliko chanya, wakihoji na kushiriki kikamilifu katika siasa na maendeleo ya jamii. Tanzania yenye vijana waonajiamini na walio...
  8. J

    SoC04 Tehama na Taifa la Tanzania kwa miaka mitano ijayo

    TEHAMA NA TANZANIA YA KESHO: Teknolojia ni elimu ya utengenezaji, utumiaji wa vifaa vya maarifa, mashine, mifumo au njia zitumikazo kutatua tatizo kwa ajili ya kupata ufumbuzi wa jambo Fulani katika jamii. TEHAMA ni kirefu cha technolojia ya habari na mawasiliano, inajumuisha vifaa mbalimblai...
Back
Top Bottom