Redefining the Purpose of Education: Moving Beyond Memorization to Meaningful Learning
The modern education system stands at a crossroads. While students graduate with diplomas in hand, many find themselves unprepared for life's most fundamental challenges – filing taxes, managing mental...
Haya ni baadhi ya matukio yanaoendelea katika Tantech association ambapo mimi na wenzangu kushirikiana na shule yetu tuliweza kuomba msaada wa kupata mafunzo mbalimbali Kwenye chuo cha Agakhan ,Shukrani tulikubaliwa na masomo yaliendelea Napenda kutoa shukrani zangu za Dhati kwa Prof.Fredrick...
TANZANIA TUITAKAYO
# SEKTA YA ELIMU
Kwanini andiko hili limeegemea zaidi katika sekta ya elimu? Jibu ni hili katika maeneo muhimu na nyeti ambayo yakichezewa basi taifa laweza kupoteza dira na mwelekeo ni eneo hili la elimu hivyo kama tutakua makini katika eneo hili tunaweza kuitengeneza...
Uwazi na uwajibikaji thabiti katika uongozi; ikiwa taifa litatunga sera,sheria na miongozo ambayo itakwenda kuzilazimisha tawala/watawala kua wawazi katika utendaji na utekelezaji wa shughuli za kiserikali hii itaenda kupunguza au kuondoa kabisa ubadhirifu wa rasilimali za taifa na kodi za...
Utangulizi
Katika dunia ya leo, maendeleo ya teknolojia yamekuwa msingi mkuu wa ukuaji wa uchumi wa mataifa mbalimbali. Tanzania, ikiwa ni moja ya nchi zinazoendelea, ina nafasi kubwa ya kuimarisha uchumi wake kupitia matumizi ya kompyuta na teknolojia za kidijitali. Katika kipindi cha miaka 5...
Nchi ya Tanzania ni nchi iliyobarikiwa Sana kwa rasilimali nyingi na yenye watu wenye wenye moyo na kuwajibika. Nchi yetu iliweza kupambana na kuondoa ukoloni na pia kuingiza sera ya ujamaa na kujitegemea.
Katika hili tunajivunia kuwa na viongozi waliokua na maono juu ya nchi yao na kuwa na...
Serikali Na wadau wa elim wanajitahidi katika kuweka miundombinu wezeshi ili kuiboresha elim ya Tanzania kuweza kuendana Na Soko la Ajira Ambalo Kwa Kiasi Kikubwa bado Tanzania ipo Nyuma Ukilinganisha Na Nchi nyengine za Afrika. Pamoja na Jitihada hizi Haya Ndio mambo Ambayo Yataendelea...
Sowing Seeds of Change: Investing in Rural Education for a Thriving Tanzania
Introduction:
In Tanzania, a nation striving for progress, a startling reality casts a long shadow: over 70% of primary school-aged children in rural areas lack access to quality education. Mama Asha's heart aches with...
Kama ilivyo kwa vijana wengi, tuna hulka kuu ya kwenda kusoma nje ya nchi zetu, hasa kwa sababu ya scholarship au sponsorship ambapo japokuwa unasoma inakuwa ni sehemu ya kujiingizia kipato kwa namna fulani, kitaalamu tunasema unaua ndege wawili kwa jiwe moja yaani kupata elimu (vyeti) na mpunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.