#tanzaniayetu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwl.RCT

    Redefining the Purpose of Education: Moving Beyond Memorization to Meaningful Learning

    Redefining the Purpose of Education: Moving Beyond Memorization to Meaningful Learning The modern education system stands at a crossroads. While students graduate with diplomas in hand, many find themselves unprepared for life's most fundamental challenges – filing taxes, managing mental...
  2. BARAKA N RANGE

    Progress of Tantech

    Haya ni baadhi ya matukio yanaoendelea katika Tantech association ambapo mimi na wenzangu kushirikiana na shule yetu tuliweza kuomba msaada wa kupata mafunzo mbalimbali Kwenye chuo cha Agakhan ,Shukrani tulikubaliwa na masomo yaliendelea Napenda kutoa shukrani zangu za Dhati kwa Prof.Fredrick...
  3. Massawe John

    SoC04 Tanzania tuitakayo sekta ya Elimu

    TANZANIA TUITAKAYO # SEKTA YA ELIMU Kwanini andiko hili limeegemea zaidi katika sekta ya elimu? Jibu ni hili katika maeneo muhimu na nyeti ambayo yakichezewa basi taifa laweza kupoteza dira na mwelekeo ni eneo hili la elimu hivyo kama tutakua makini katika eneo hili tunaweza kuitengeneza...
  4. Massawe John

    SoC04 Mawazo thabiti ya namna ya kuyafikia maendeleo nchini Tanzania

    Uwazi na uwajibikaji thabiti katika uongozi; ikiwa taifa litatunga sera,sheria na miongozo ambayo itakwenda kuzilazimisha tawala/watawala kua wawazi katika utendaji na utekelezaji wa shughuli za kiserikali hii itaenda kupunguza au kuondoa kabisa ubadhirifu wa rasilimali za taifa na kodi za...
  5. D

    SoC04 Umuhimu wa matumizi ya kompyuta na fani zake katika kujenga uchumi bora wa nchi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 5 hadi 10

    Utangulizi Katika dunia ya leo, maendeleo ya teknolojia yamekuwa msingi mkuu wa ukuaji wa uchumi wa mataifa mbalimbali. Tanzania, ikiwa ni moja ya nchi zinazoendelea, ina nafasi kubwa ya kuimarisha uchumi wake kupitia matumizi ya kompyuta na teknolojia za kidijitali. Katika kipindi cha miaka 5...
  6. M

    SoC04 Watoto wa Kitanzania wenye mabadiliko

    Nchi ya Tanzania ni nchi iliyobarikiwa Sana kwa rasilimali nyingi na yenye watu wenye wenye moyo na kuwajibika. Nchi yetu iliweza kupambana na kuondoa ukoloni na pia kuingiza sera ya ujamaa na kujitegemea. Katika hili tunajivunia kuwa na viongozi waliokua na maono juu ya nchi yao na kuwa na...
  7. J

    SoC04 Hatuwezi kuboresha Elimu ya Tanzania kama tutapuuzia mambo haya

    Serikali Na wadau wa elim wanajitahidi katika kuweka miundombinu wezeshi ili kuiboresha elim ya Tanzania kuweza kuendana Na Soko la Ajira Ambalo Kwa Kiasi Kikubwa bado Tanzania ipo Nyuma Ukilinganisha Na Nchi nyengine za Afrika. Pamoja na Jitihada hizi Haya Ndio mambo Ambayo Yataendelea...
  8. Mwl.RCT

    SoC04 Sowing Seeds of Change: Investing in Rural Education for a Thriving Tanzania

    Sowing Seeds of Change: Investing in Rural Education for a Thriving Tanzania Introduction: In Tanzania, a nation striving for progress, a startling reality casts a long shadow: over 70% of primary school-aged children in rural areas lack access to quality education. Mama Asha's heart aches with...
  9. U

    SoC04 Minong'ono ya uzalendo Nafsini Mwangu

    Kama ilivyo kwa vijana wengi, tuna hulka kuu ya kwenda kusoma nje ya nchi zetu, hasa kwa sababu ya scholarship au sponsorship ambapo japokuwa unasoma inakuwa ni sehemu ya kujiingizia kipato kwa namna fulani, kitaalamu tunasema unaua ndege wawili kwa jiwe moja yaani kupata elimu (vyeti) na mpunga...
Back
Top Bottom