Baadhi ya Watia Nia Uenyekiti wa Mitaa na Vitongoji mliomwaga mihela ya rushwa mkapenya mmezienda kinyume taratibu za CCM na kuikiuka sheria iliyopelekwa bungeni na Rais na kupitishwa, mnatajikiwa msipigiwe kampeni bali mpelekwe jela kwa unyang’au wenu.
Nilisikika katika ulimwengu wa kiroho...