tatizo la akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    RPC Ruvuma: Mwanamke Aliyekutwa Ofisi za TANESCO Hana Uhusiano na Uchawi, Ana Tatizo la Akili

    Hali ya gumzo imetanda kwa baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Songea mjini Mkoani Ruvuma baada ya Mwanamke mmoja katika Ofisi za Shirika la Umeme TANESCO Mkoani humo akiwa hana nguo huku baadhi ya Mashuhuda wakisema alianguka na ungo wa kichawi wakati akipita juu ya Ofisi hizo. Soma Pia: Apata...
  2. Waufukweni

    Padri Rwegoshora kesi ya mauaji ya Asimwe imebainika hana tatizo la Akili, Mahakama kuruhusu Kesi kuendelea

    Mtuhumiwa namba moja wa kesi ya mauaji ya kikatili ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Asimwe Novat aliyekuwa na umri wa miaka miwili na nusu, Padri Elipidius Alfred Rwegoshora, ambaye ni miongoni mwa watuhumiwa tisa aliyepelekwa Isanga mkoani Dodoma, ili achunguzwe akili yake kufutia ombi la...
  3. THE JAGGERS

    Msaada: Mama yangu anasumbuliwa na tatizo la akili ambalo hospitali halionekani

    Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏 Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu. Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year...
  4. R

    Nadhani Lissu hayuko sawa sawa, ana tatizo

    Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu. Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote. Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi! Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA. Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani All these boil down to one cause: Kuna nati fulani...
  5. GENTAMYCINE

    Mtaalam wa Tiba ya Akili na Saikolojia: Ikipita mwezi hujalia hadi kutokwa na machozi utakuwa na tatizo la akili

    Mtaalamu wa Tiba ya Akili na Saikolojia: Ikipita mwezi hujalia hadi kutokwa machozi utakuwa na tatizo kubwa la akili, jitahidini mlie tafadhali. Pia soma: Ongezeko kubwa la wagonjwa wa akili nchini; Je, jamii ina elimu ya kutosha juu ya namna ya kukabiliana na janga hili? Kama ni Kulia tu...
Back
Top Bottom