tatizo la maji dar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Majadala: Toa mawazo yako tufanyeje ili kutatua tatizo la maji Dar es Salaam milele

    KARIBU KWENYE MJADALA HUU NDUGU YANGU MTANZANIA Mawazo yako ni muhimu sana katika hii Mada. Mada: TUFANYEJE KUTATUA TATIZO LA MAJI DAR ES SALAAM MILELE Toa mawazo yako ili tupate ufumbuzi juu ya tatizo hili Mchango uwe wa kiufundi zaidi na sio kisiasa Karibuni Pia soma: SoC03 - Mwarobaini...
  2. Insidious

    KERO Ukosefu wa maji zaidi ya mwezi mmoja Tabata

    Kwenu Wahusika, Naandika kutoa malalamiko yangu na kuhusu kukosekana kwa maji kutoka DAWASA katika maeneo mengi ya Tabata, kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa ambayo pia inatufanya kuingia gharama kubwa kupata maji hayo. Bill yetu ya hivi karibuni inaonyesha matumizi ya maji kuwa sifuri, ikionyesha...
  3. T

    KERO Aliyewapiga mkwara Dawasa Dar please tunaomba nenda Mwanza na mikoa mingine.Tumeona matunda within 24 hours

    Hivi jamani, sisi wabongo watu wa ajabu sana? hivi ni kwa kuwa hatuelewi majukumu yetu?hivi ni kwa sababu sisi ni wavivu, hivi sisi hatujui kwa nini tumeshika ofisi zetu.hatujui wajibu wetu? Hivi ni mpaka mtu apigwe mkwara wa kufukuzwa kazi, aumbuliwe mbele ya ma-subordinates wake ndipo afanye...
Back
Top Bottom