tatizo la moyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

    Wakuu habari, nilienda hospitali, Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale. Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia...
  2. Je, inawezekana nina tatizo la moyo?

    Sijui kama nina tatizo la moyo au vipi? Nina pata maumivu makali katikati ya kifua au kwenye kifua upande wa kushota pale ninapo lalia kifua au kulalia mgongo kwa masaa mengi zaidi. Au nikinyanyua kitu kizoto Na kukaa chini kwa mda mrefu pamoja Na kusimama kwa mda mrefu. Na maumivu hayo Mara...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…