Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia?
Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
Mimi ni kijana miaka 26 nina tatzo la nguvu za kiume linanitesa sana mpaka nakosa raha, uume hausimami kabisa si asubuhi wala jioni yaani nashinda kuta nzima umelala hii kitu naogopa hata kuwa na demu maana nitamfanya nini zaidi ya kuaibika.
Nilikuwa mpiga nyeto ila now nimeacha msaada wenu...
MASWALI YALIYOULIZWA NA BAADHI YA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
---
UFAFANUZI NA USHAURI ULIOTOLEWA NA WADAU
Pre mature ejaculation ni nini?
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.
Tatizo hili...
Wajameni tunaulizia kwa wataalamu wa JF dawa gani za kuongeza mbegu za kiume yaani idadi zake na kuongeza nguvu za kiume ukiacha viagra.
Tuwe serious kutoa msaada.
Ufafanuzi wa jumla wa tatizo la nguvu za kiume na tiba yake
Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.