tatizo la nguvu za kiume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Joseph midimu

    Nasumbulia na tatizo la nguvu za kiume naomba msaada

    Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia? Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
  2. Raia mpya

    Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

    Mimi ni kijana miaka 26 nina tatzo la nguvu za kiume linanitesa sana mpaka nakosa raha, uume hausimami kabisa si asubuhi wala jioni yaani nashinda kuta nzima umelala hii kitu naogopa hata kuwa na demu maana nitamfanya nini zaidi ya kuaibika. Nilikuwa mpiga nyeto ila now nimeacha msaada wenu...
  3. johnsonmgaya

    Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume: Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu tatizo hili

    MASWALI YALIYOULIZWA NA BAADHI YA WADAU KUHUSU TATIZO HILI --- UFAFANUZI NA USHAURI ULIOTOLEWA NA WADAU Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake. Tatizo hili...
  4. Pdidy

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Wajameni tunaulizia kwa wataalamu wa JF dawa gani za kuongeza mbegu za kiume yaani idadi zake na kuongeza nguvu za kiume ukiacha viagra. Tuwe serious kutoa msaada. Ufafanuzi wa jumla wa tatizo la nguvu za kiume na tiba yake Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni...
Back
Top Bottom